Kutoka 40:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Naye Musa hakuweza kuingia ndani ya hema la mkutano, kwa sababu wingu+ lilikaa juu yake na utukufu wa Yehova uliijaza maskani.+ 2 Mambo ya Nyakati 7:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Na makuhani hawakuweza kuingia ndani ya nyumba ya Yehova+ kwa sababu utukufu wa Yehova ulikuwa umeijaza nyumba ya Yehova.
35 Naye Musa hakuweza kuingia ndani ya hema la mkutano, kwa sababu wingu+ lilikaa juu yake na utukufu wa Yehova uliijaza maskani.+
2 Na makuhani hawakuweza kuingia ndani ya nyumba ya Yehova+ kwa sababu utukufu wa Yehova ulikuwa umeijaza nyumba ya Yehova.