Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 4
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Mambo ya Nyakati 4:1

Marejeo

  • +Kut 38:2; 1Fa 8:22; 2Fa 16:14
  • +Kut 20:26

2 Mambo ya Nyakati 4:2

Marejeo

  • +Kut 30:20; 38:8; 2Nya 4:6
  • +1Fa 7:23

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Maswali ya Biblia Yajibiwa, makala 82

2 Mambo ya Nyakati 4:3

Marejeo

  • +1Fa 6:18
  • +1Fa 7:24

2 Mambo ya Nyakati 4:4

Marejeo

  • +Yer 52:20
  • +1Fa 7:25

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    The Watchtower,

    12/1/2005, uku. 19

  • Fahirishi ya Machapisho

    w05 12/1 19

2 Mambo ya Nyakati 4:5

Marejeo

  • +1Fa 6:35
  • +1Fa 7:26; Eze 45:14

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    2/1/2008, uku. 15

    12/1/2005, uku. 19

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 2/1 15; w05 12/1 19

2 Mambo ya Nyakati 4:6

Marejeo

  • +1Fa 7:39
  • +Law 9:14
  • +Law 1:9
  • +Kut 29:4

2 Mambo ya Nyakati 4:7

Marejeo

  • +Kut 37:17; 2Nya 4:20; Zek 4:2
  • +1Nya 28:12
  • +Kut 40:24

2 Mambo ya Nyakati 4:8

Marejeo

  • +2Nya 4:19

2 Mambo ya Nyakati 4:9

Marejeo

  • +Kut 27:9; Law 6:16
  • +1Fa 6:36
  • +1Fa 7:12

2 Mambo ya Nyakati 4:10

Marejeo

  • +1Fa 7:39

2 Mambo ya Nyakati 4:11

Marejeo

  • +Kut 27:3; 1Fa 7:45
  • +Kut 38:3; 2Fa 25:14
  • +1Fa 7:40

2 Mambo ya Nyakati 4:12

Marejeo

  • +2Nya 3:17
  • +1Fa 7:41
  • +1Fa 7:17

2 Mambo ya Nyakati 4:13

Marejeo

  • +1Fa 7:20
  • +1Fa 7:42; Yer 52:22

2 Mambo ya Nyakati 4:14

Marejeo

  • +1Fa 7:27; 2Fa 25:16; Yer 52:17
  • +1Fa 7:38

2 Mambo ya Nyakati 4:15

Marejeo

  • +1Fa 7:23
  • +1Fa 7:25

2 Mambo ya Nyakati 4:16

Marejeo

  • +1Fa 7:40
  • +Kut 38:3
  • +Yer 52:19
  • +2Nya 2:13

2 Mambo ya Nyakati 4:17

Marejeo

  • +Yos 13:24, 27
  • +1Fa 7:46

2 Mambo ya Nyakati 4:18

Marejeo

  • +1Fa 7:47; 1Nya 22:3, 14; Yer 52:20

2 Mambo ya Nyakati 4:19

Marejeo

  • +2Fa 24:13; Ezr 1:7; Yer 28:3
  • +Kut 37:26; 1Fa 7:48; 2Nya 26:16; Ufu 8:3
  • +Kut 25:24; 2Nya 4:8

2 Mambo ya Nyakati 4:20

Marejeo

  • +Kut 37:17; 1Fa 7:49
  • +Kut 25:37
  • +1Fa 6:16

2 Mambo ya Nyakati 4:21

Marejeo

  • +Kut 37:23

2 Mambo ya Nyakati 4:22

Marejeo

  • +1Fa 7:50
  • +1Fa 6:32
  • +1Fa 6:34

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 Nya. 4:1Kut 38:2; 1Fa 8:22; 2Fa 16:14
2 Nya. 4:1Kut 20:26
2 Nya. 4:2Kut 30:20; 38:8; 2Nya 4:6
2 Nya. 4:21Fa 7:23
2 Nya. 4:31Fa 6:18
2 Nya. 4:31Fa 7:24
2 Nya. 4:4Yer 52:20
2 Nya. 4:41Fa 7:25
2 Nya. 4:51Fa 6:35
2 Nya. 4:51Fa 7:26; Eze 45:14
2 Nya. 4:61Fa 7:39
2 Nya. 4:6Law 9:14
2 Nya. 4:6Law 1:9
2 Nya. 4:6Kut 29:4
2 Nya. 4:7Kut 37:17; 2Nya 4:20; Zek 4:2
2 Nya. 4:71Nya 28:12
2 Nya. 4:7Kut 40:24
2 Nya. 4:82Nya 4:19
2 Nya. 4:9Kut 27:9; Law 6:16
2 Nya. 4:91Fa 6:36
2 Nya. 4:91Fa 7:12
2 Nya. 4:101Fa 7:39
2 Nya. 4:11Kut 27:3; 1Fa 7:45
2 Nya. 4:11Kut 38:3; 2Fa 25:14
2 Nya. 4:111Fa 7:40
2 Nya. 4:122Nya 3:17
2 Nya. 4:121Fa 7:41
2 Nya. 4:121Fa 7:17
2 Nya. 4:131Fa 7:20
2 Nya. 4:131Fa 7:42; Yer 52:22
2 Nya. 4:141Fa 7:27; 2Fa 25:16; Yer 52:17
2 Nya. 4:141Fa 7:38
2 Nya. 4:151Fa 7:23
2 Nya. 4:151Fa 7:25
2 Nya. 4:161Fa 7:40
2 Nya. 4:16Kut 38:3
2 Nya. 4:16Yer 52:19
2 Nya. 4:162Nya 2:13
2 Nya. 4:17Yos 13:24, 27
2 Nya. 4:171Fa 7:46
2 Nya. 4:181Fa 7:47; 1Nya 22:3, 14; Yer 52:20
2 Nya. 4:192Fa 24:13; Ezr 1:7; Yer 28:3
2 Nya. 4:19Kut 37:26; 1Fa 7:48; 2Nya 26:16; Ufu 8:3
2 Nya. 4:19Kut 25:24; 2Nya 4:8
2 Nya. 4:20Kut 37:17; 1Fa 7:49
2 Nya. 4:20Kut 25:37
2 Nya. 4:201Fa 6:16
2 Nya. 4:21Kut 37:23
2 Nya. 4:221Fa 7:50
2 Nya. 4:221Fa 6:32
2 Nya. 4:221Fa 6:34
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Mambo ya Nyakati 4:1-22

2 Mambo ya Nyakati

4 Kisha akatengeneza ile madhabahu ya shaba,+ urefu wake ukiwa ni mikono 20, na upana wake mikono 20, na kimo chake mikono 10.+

2 Naye akatengeneza bahari ya kuyeyushwa+ urefu wa mikono 10 kutoka ukingo wake mmoja mpaka ukingo wake mwingine, ikiwa ni mviringo kuzunguka pande zote, na kimo chake kilikuwa mikono 5, na kamba ya mikono 30 ingeweza kuizunguka pande zote.+ 3 Na kulikuwa na mapambo yenye umbo la kibuyu+ chini yake kwenye mviringo wote, yakiizunguka, 10 katika kila urefu wa mkono mmoja, yakiizunguka ile bahari pande zote.+ Yale mapambo yenye umbo la kibuyu yalikuwa katika mistari miwili, yakiwa yamefanyizwa katika myeyusho wake. 4 Ilikuwa imesimama juu ya ng’ombe-dume kumi na wawili,+ watatu wakitazama kaskazini na watatu wakitazama magharibi na watatu wakitazama kusini na watatu wakitazama mashariki; na bahari ilikuwa juu yao, na sehemu zao za nyuma zote zilielekea upande wa ndani.+ 5 Na unene wake ulikuwa upana wa kiganja kimoja; na ukingo wake ulikuwa kama muundo wa ukingo wa kikombe, ua la yungiyungi.+ Nayo ikiwa kitu cha kuhifadhia, ingeweza kuchukua vipimo elfu tatu vya bathi.+

6 Tena akatengeneza beseni kumi, akaweka tano upande wa kuume na tano upande wa kushoto,+ ili kuoshea humo.+ Wakawa wakioshea humo vitu vinavyohusiana na toleo la kuteketezwa.+ Lakini ile bahari ilikuwa kwa ajili ya makuhani kuogea humo.+

7 Kisha akatengeneza vinara vya taa+ vya dhahabu, kumi vya muundo mmoja,+ akaviweka katika hekalu, vitano upande wa kuume na vitano upande wa kushoto.+

8 Tena akatengeneza meza kumi, akaziweka katika hekalu, tano upande wa kuume na tano upande wa kushoto,+ halafu akatengeneza mabakuli mia moja ya dhahabu.

9 Kisha akatengeneza ua+ wa makuhani+ na ule ua mkuu na milango ya ule ua,+ akaifunika milango yake kwa shaba. 10 Naye akaweka ile bahari upande wa kuume, upande wa mashariki, kuelekea kusini.+

11 Mwishowe Hiramu akatengeneza makopo+ na sepetu+ na mabakuli.+

Basi Hiramu akamaliza kuifanya kazi aliyomfanyia Mfalme Sulemani kwenye nyumba ya Mungu wa kweli. 12 Zile nguzo+ mbili na yale makombe ya mviringo+ juu ya zile nguzo mbili na zile kamba mbili za nyavu+ za kufunika yale makombe mawili ya mviringo yaliyokuwa juu ya zile nguzo 13 na yale makomamanga+ mia nne kwa ajili ya zile kamba mbili za nyavu, mistari miwili ya makomamanga kwa kila kamba ya nyavu ili kufunika yale makombe mawili ya mviringo yaliyokuwa juu ya zile nguzo,+ 14 na yale mabehewa+ kumi na zile beseni+ kumi juu ya yale mabehewa; 15 ile bahari+ moja na wale ng’ombe-dume kumi na wawili walio chini yake,+ 16 na makopo na sepetu+ na nyuma+ na vyombo+ vyake vyote ambavyo Hiram-abivu+ alimtengenezea Mfalme Sulemani kwa ajili ya nyumba ya Yehova, vya shaba iliyong’arishwa. 17 Mfalme aliviyeyushia katika Wilaya ya Yordani katika ule udongo mzito kati ya Sukothi+ na Sereda.+ 18 Basi Sulemani akatengeneza vyombo hivyo vyote kwa wingi sana, kwa maana uzito wa ile shaba haukujulikana.+

19 Na Sulemani akatengeneza vyombo+ vyote vilivyokuwa katika nyumba ya Mungu wa kweli na ile madhabahu ya dhahabu+ na zile meza+ zenye ule mkate wa wonyesho juu yake, 20 na vinara vya taa+ na taa+ zake za dhahabu safi, ili kuziwasha mbele ya chumba cha ndani kabisa+ kulingana na kanuni; 21 na maua na taa na mikasi ya tambi,+ ya dhahabu, (ilikuwa ndiyo dhahabu safi zaidi,) 22 na mikasi ya taa na mabakuli na vikombe na vyetezo, vya dhahabu safi,+ na mwingilio wa nyumba,+ milango yake ya ndani ya Patakatifu Zaidi na milango+ ya nyumba ya hekalu, ya dhahabu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki