Kutoka 38:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Halafu akafanya pembe zake+ kwenye zile ncha zake nne. Pembe zake zilitoka kwake. Kisha akaifunika kwa shaba.+ 1 Wafalme 8:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Na Sulemani akaanza kusimama mbele ya madhabahu+ ya Yehova mbele ya kutaniko lote la Israeli, naye sasa akanyoosha mikono yake kuelekea mbinguni;+ 2 Wafalme 16:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Naye akaleta madhabahu ya shaba+ iliyokuwa mbele za Yehova kutoka mbele ya nyumba, kutoka katikati ya madhabahu yake na nyumba ya Yehova,+ na kuiweka upande wa kaskazini wa madhabahu yake.
2 Halafu akafanya pembe zake+ kwenye zile ncha zake nne. Pembe zake zilitoka kwake. Kisha akaifunika kwa shaba.+
22 Na Sulemani akaanza kusimama mbele ya madhabahu+ ya Yehova mbele ya kutaniko lote la Israeli, naye sasa akanyoosha mikono yake kuelekea mbinguni;+
14 Naye akaleta madhabahu ya shaba+ iliyokuwa mbele za Yehova kutoka mbele ya nyumba, kutoka katikati ya madhabahu yake na nyumba ya Yehova,+ na kuiweka upande wa kaskazini wa madhabahu yake.