Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 38:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Halafu akafanya pembe zake+ kwenye zile ncha zake nne. Pembe zake zilitoka kwake. Kisha akaifunika kwa shaba.+

  • 1 Wafalme 8:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Na Sulemani akaanza kusimama mbele ya madhabahu+ ya Yehova mbele ya kutaniko lote la Israeli, naye sasa akanyoosha mikono yake kuelekea mbinguni;+

  • 2 Wafalme 16:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Naye akaleta madhabahu ya shaba+ iliyokuwa mbele za Yehova kutoka mbele ya nyumba, kutoka katikati ya madhabahu yake na nyumba ya Yehova,+ na kuiweka upande wa kaskazini wa madhabahu yake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki