17 Kisha akafanya kinara cha taa+ cha dhahabu safi. Kwa kazi ya kufua akakifanya kinara cha taa. Pande zake na matawi yake, vikombe vyake, mafundo yake na maua yake vikatokea kwake.+
Basi nikasema: “Nimeona, na tazama! kuna kinara cha taa, chote ni cha dhahabu,+ na bakuli liko juu yake. Na taa zake saba ziko juu yake, ndiyo, saba;+ na taa zilizo juu yake zina mirija saba.