Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 37:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kisha akafanya kinara cha taa+ cha dhahabu safi. Kwa kazi ya kufua akakifanya kinara cha taa. Pande zake na matawi yake, vikombe vyake, mafundo yake na maua yake vikatokea kwake.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 4:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 na vinara vya taa+ na taa+ zake za dhahabu safi, ili kuziwasha mbele ya chumba cha ndani kabisa+ kulingana na kanuni;

  • Zekaria 4:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Ndipo akaniambia: “Unaona nini?”+

      Basi nikasema: “Nimeona, na tazama! kuna kinara cha taa, chote ni cha dhahabu,+ na bakuli liko juu yake. Na taa zake saba ziko juu yake, ndiyo, saba;+ na taa zilizo juu yake zina mirija saba.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki