Zekaria 4:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kisha akaniuliza: “Unaona nini?” Nikamjibu: “Tazama! ninaona kinara cha taa cha dhahabu tupu,+ na juu yake kuna bakuli. Kina taa saba juu yake,+ naam, saba, na taa hizo zilizo juu yake zina mirija saba. Zekaria Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 4:2 Mnara wa Mlinzi (Funzo),3/2022, uku. 15
2 Kisha akaniuliza: “Unaona nini?” Nikamjibu: “Tazama! ninaona kinara cha taa cha dhahabu tupu,+ na juu yake kuna bakuli. Kina taa saba juu yake,+ naam, saba, na taa hizo zilizo juu yake zina mirija saba.