Kutoka 25:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 “Nawe utafanya kinara cha taa cha dhahabu safi. Hicho kinara cha taa kitafanyizwa kwa kazi ya kufua.+ Msingi wake, matawi yake, vikombe vyake, vifundo vyake na maua yake vitatoka kwake.
31 “Nawe utafanya kinara cha taa cha dhahabu safi. Hicho kinara cha taa kitafanyizwa kwa kazi ya kufua.+ Msingi wake, matawi yake, vikombe vyake, vifundo vyake na maua yake vitatoka kwake.