Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 37:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kisha akafanya kinara cha taa+ cha dhahabu safi. Kwa kazi ya kufua akakifanya kinara cha taa. Pande zake na matawi yake, vikombe vyake, mafundo yake na maua yake vikatokea kwake.+

  • Kutoka 40:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Halafu akaweka kile kinara cha taa+ ndani ya hema la mkutano mbele ya ile meza, upande wa maskani kuelekea kusini.

  • 1 Wafalme 7:49
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 49 na vinara vya taa,+ vitano upande wa kuume na vitano upande wa kushoto mbele ya kile chumba cha ndani kabisa, vya dhahabu safi,+ na maua+ na taa+ na mikasi ya tambi,+ vyote hivyo vya dhahabu,

  • Waebrania 9:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kwa maana kilijengwa chumba cha hema cha kwanza+ ambacho ndani yake mlikuwa kile kinara cha taa+ na pia meza+ na wonyesho wa mikate;+ nacho kinaitwa “Mahali Patakatifu.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki