Kutoka 37:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Kisha akafanya taa zake saba na mikasi ya tambi zake na vyetezo vyake kutokana na dhahabu safi.+ Hesabu 8:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Sema na Haruni, nawe utamwambia, ‘Wakati wowote unapowasha taa, zile taa saba zitaangaza eneo lililo mbele ya kinara.’”+ 2 Mambo ya Nyakati 29:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Pia walifunga milango+ ya ukumbi na kuzima taa,+ nao hawakufukiza uvumba,+ wala hawakumtolea Mungu wa Israeli dhabihu ya kuteketezwa katika mahali patakatifu.+ Luka 12:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 “Viuno+ vyenu na vifungwe mishipi na taa+ zenu ziwe zikiwaka,
2 “Sema na Haruni, nawe utamwambia, ‘Wakati wowote unapowasha taa, zile taa saba zitaangaza eneo lililo mbele ya kinara.’”+
7 Pia walifunga milango+ ya ukumbi na kuzima taa,+ nao hawakufukiza uvumba,+ wala hawakumtolea Mungu wa Israeli dhabihu ya kuteketezwa katika mahali patakatifu.+