Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 37:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Kisha akafanya taa zake saba na mikasi ya tambi zake na vyetezo vyake kutokana na dhahabu safi.+

  • Hesabu 8:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Sema na Haruni, nawe utamwambia, ‘Wakati wowote unapowasha taa, zile taa saba zitaangaza eneo lililo mbele ya kinara.’”+

  • 2 Mambo ya Nyakati 29:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Pia walifunga milango+ ya ukumbi na kuzima taa,+ nao hawakufukiza uvumba,+ wala hawakumtolea Mungu wa Israeli dhabihu ya kuteketezwa katika mahali patakatifu.+

  • Luka 12:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 “Viuno+ vyenu na vifungwe mishipi na taa+ zenu ziwe zikiwaka,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki