Mathayo 25:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 “Ndipo ufalme wa mbinguni utakuwa kama mabikira kumi waliochukua taa+ zao na kwenda kumpokea bwana-arusi.+ Wafilipi 2:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 ili mje kuwa bila lawama na wasio na hatia,+ watoto+ wa Mungu wasio na dosari katikati ya kizazi kilicho kombo na kilichopotoka,+ ambao kati yao mnaangaza kama mianga katika ulimwengu,+
25 “Ndipo ufalme wa mbinguni utakuwa kama mabikira kumi waliochukua taa+ zao na kwenda kumpokea bwana-arusi.+
15 ili mje kuwa bila lawama na wasio na hatia,+ watoto+ wa Mungu wasio na dosari katikati ya kizazi kilicho kombo na kilichopotoka,+ ambao kati yao mnaangaza kama mianga katika ulimwengu,+