Mathayo 5:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Ninyi ndio nuru ya ulimwengu.+ Jiji haliwezi kufichwa likiwa limesimama juu ya mlima. Waefeso 5:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 kwa maana wakati mmoja ninyi mlikuwa giza,+ bali sasa ninyi ni nuru+ kuhusiana na Bwana. Endeleeni kutembea kama watoto wa nuru, 1 Petro 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Lakini ninyi ni “jamii iliyochaguliwa, ukuhani wa kifalme, taifa takatifu,+ watu wa kuwa mali ya pekee,+ ili mtangaze kotekote sifa bora”+ zake yeye aliyewaita ninyi kutoka katika giza kuingia katika nuru yake ya ajabu.+
8 kwa maana wakati mmoja ninyi mlikuwa giza,+ bali sasa ninyi ni nuru+ kuhusiana na Bwana. Endeleeni kutembea kama watoto wa nuru,
9 Lakini ninyi ni “jamii iliyochaguliwa, ukuhani wa kifalme, taifa takatifu,+ watu wa kuwa mali ya pekee,+ ili mtangaze kotekote sifa bora”+ zake yeye aliyewaita ninyi kutoka katika giza kuingia katika nuru yake ya ajabu.+