4 “Nikazieni uangalifu mimi, enyi watu wangu; nanyi kikundi changu cha taifa,+ nitegeeni sikio. Kwa maana sheria itatoka kwangu,+ nami nitaustarehesha uamuzi wangu wa hukumu kama nuru kwa vikundi vya watu.+
12 Kwa hiyo Yesu akawaambia tena, akisema: “Mimi ndiye nuru+ ya ulimwengu. Yule anayenifuata hatatembea kamwe katika giza,+ bali atakuwa na nuru ya uzima.”
14 Msifungwe nira isivyo sawa pamoja na wasio waamini.+ Kwa maana kuna ushirika gani kati ya uadilifu na uasi-sheria?+ Au nuru ina ushirika gani na giza?+
15 ili mje kuwa bila lawama na wasio na hatia,+ watoto+ wa Mungu wasio na dosari katikati ya kizazi kilicho kombo na kilichopotoka,+ ambao kati yao mnaangaza kama mianga katika ulimwengu,+