1 Wakorintho 1:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Yeye pia atawafanya ninyi imara+ mpaka mwisho, ili msiwe na shtaka+ lolote katika siku+ ya Bwana wetu Yesu Kristo.+ Waefeso 5:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 ili kujipa mwenyewe kutaniko likiwa na fahari,+ likiwa bila doa au kunyanzi au lolote la mambo hayo, bali ili liwe takatifu na bila dosari.+
8 Yeye pia atawafanya ninyi imara+ mpaka mwisho, ili msiwe na shtaka+ lolote katika siku+ ya Bwana wetu Yesu Kristo.+
27 ili kujipa mwenyewe kutaniko likiwa na fahari,+ likiwa bila doa au kunyanzi au lolote la mambo hayo, bali ili liwe takatifu na bila dosari.+