11 Lakini sasa ninawaandikia ninyi mwache kuchangamana katika ushirika+ pamoja na mtu yeyote anayeitwa ndugu ambaye ni mwasherati au mtu mwenye pupa+ au mwabudu-sanamu au mtukanaji au mlevi+ au mnyang’anyi, hata msile chakula pamoja na mtu wa namna hiyo.
4 Enyi wazinzi,+ je, hamjui kwamba urafiki na ulimwengu ni uadui na Mungu?+ Kwa hiyo, yeyote anayetaka kuwa rafiki+ ya ulimwengu anajifanya kuwa adui ya Mungu.+