Kutoka 25:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Nawe utakifanyia taa saba; na taa hizo zitawashwa, nazo zitaangaza juu ya eneo lililo mbele yake.+ Kutoka 40:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kisha akawasha zile taa+ mbele za Yehova, kama vile Yehova alivyokuwa amemwamuru Musa. Mambo ya Walawi 24:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Waamuru wana wa Israeli wakuletee mafuta safi ya zeituni zilizopondwa kwa ajili ya mwanga,+ ili kuiwasha taa daima.+
37 Nawe utakifanyia taa saba; na taa hizo zitawashwa, nazo zitaangaza juu ya eneo lililo mbele yake.+
2 “Waamuru wana wa Israeli wakuletee mafuta safi ya zeituni zilizopondwa kwa ajili ya mwanga,+ ili kuiwasha taa daima.+