Kutoka 25:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Nawe utakifanyia taa saba; na taa hizo zitawashwa, nazo zitaangaza juu ya eneo lililo mbele yake.+ Kutoka 37:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Kisha akafanya taa zake saba na mikasi ya tambi zake na vyetezo vyake kutokana na dhahabu safi.+ Zaburi 119:105 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 105 Neno lako ni taa ya mguu wangu,+Na nuru kwa barabara yangu.+
37 Nawe utakifanyia taa saba; na taa hizo zitawashwa, nazo zitaangaza juu ya eneo lililo mbele yake.+