Kutoka 25:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Nawe utakifanyia taa saba; na taa hizo zitawashwa, nazo zitaangaza juu ya eneo lililo mbele yake.+ Kutoka 25:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Na mikasi yake ya tambi na vyetezo vyake ni vya dhahabu safi.+ Hesabu 8:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Sema na Haruni, nawe utamwambia, ‘Wakati wowote unapowasha taa, zile taa saba zitaangaza eneo lililo mbele ya kinara.’”+
37 Nawe utakifanyia taa saba; na taa hizo zitawashwa, nazo zitaangaza juu ya eneo lililo mbele yake.+
2 “Sema na Haruni, nawe utamwambia, ‘Wakati wowote unapowasha taa, zile taa saba zitaangaza eneo lililo mbele ya kinara.’”+