Kutoka 29:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 “Na hiki ndicho utakachotoa juu ya madhabahu hiyo: wana-kondoo dume kila mmoja akiwa na umri wa mwaka mmoja, wawili kila siku daima.+ Malaki 1:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “Ni nani pia aliye kati yenu atakayefunga milango?+ Nanyi hamtaiwasha madhabahu yangu—bure.+ Sipendezwi nanyi hata kidogo,” Yehova wa majeshi amesema, “nami sifurahii toleo la zawadi kutoka mkononi mwenu.”+
38 “Na hiki ndicho utakachotoa juu ya madhabahu hiyo: wana-kondoo dume kila mmoja akiwa na umri wa mwaka mmoja, wawili kila siku daima.+
10 “Ni nani pia aliye kati yenu atakayefunga milango?+ Nanyi hamtaiwasha madhabahu yangu—bure.+ Sipendezwi nanyi hata kidogo,” Yehova wa majeshi amesema, “nami sifurahii toleo la zawadi kutoka mkononi mwenu.”+