-
2 Mambo ya Nyakati 2:4Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
4 tazama, ninajenga+ nyumba kwa ajili ya jina+ la Yehova Mungu wangu, ili niitakase+ kwake, ili kufukiza mbele zake uvumba uliotiwa manukato,+ pamoja na mkate+ wa tabaka wa daima na matoleo ya kuteketezwa wakati wa asubuhi na jioni,+ wakati wa sabato+ na wakati wa miezi mipya+ na kwenye majira ya sherehe+ ya Yehova Mungu wetu. Hayo yatakuwa juu ya Israeli mpaka wakati usio na kipimo.+
-
-
2 Mambo ya Nyakati 13:11Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
11 Nao wanamfukizia Yehova toleo la kuteketezwa asubuhi baada ya asubuhi na jioni baada ya jioni+ na pia uvumba uliotiwa manukato;+ na tabaka za mkate ziko juu ya meza ya dhahabu safi,+ na kuna kinara cha taa+ cha dhahabu na taa zake ili kuwaka jioni baada ya jioni;+ kwa sababu tunashika wajibu+ kwa Yehova Mungu wetu, lakini ninyi mmemwacha.+
-
-
Danieli 9:27Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
27 “Naye ataendelea kulitendesha agano+ kwa ajili ya wengi kwa juma moja;+ na katika nusu ya juma hilo atakomesha dhabihu na toleo la zawadi.+
“Na juu ya bawa la machukizo kutakuwa na yule anayesababisha ukiwa;+ na mpaka maangamizi, kitu kile kilichoamuliwa kitamwagika pia juu ya yule anayekaa ukiwa.”+
-