Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 16:40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 ili watoe matoleo ya kuteketezwa kwa Yehova juu ya madhabahu ya toleo la kuteketezwa daima asubuhi na jioni na kwa ajili ya yote ambayo yameandikwa katika sheria ya Yehova ambayo aliamuru Israeli;+

  • 2 Mambo ya Nyakati 2:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 tazama, ninajenga+ nyumba kwa ajili ya jina+ la Yehova Mungu wangu, ili niitakase+ kwake, ili kufukiza mbele zake uvumba uliotiwa manukato,+ pamoja na mkate+ wa tabaka wa daima na matoleo ya kuteketezwa wakati wa asubuhi na jioni,+ wakati wa sabato+ na wakati wa miezi mipya+ na kwenye majira ya sherehe+ ya Yehova Mungu wetu. Hayo yatakuwa juu ya Israeli mpaka wakati usio na kipimo.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 13:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Nao wanamfukizia Yehova toleo la kuteketezwa asubuhi baada ya asubuhi na jioni baada ya jioni+ na pia uvumba uliotiwa manukato;+ na tabaka za mkate ziko juu ya meza ya dhahabu safi,+ na kuna kinara cha taa+ cha dhahabu na taa zake ili kuwaka jioni baada ya jioni;+ kwa sababu tunashika wajibu+ kwa Yehova Mungu wetu, lakini ninyi mmemwacha.+

  • Danieli 9:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 “Naye ataendelea kulitendesha agano+ kwa ajili ya wengi kwa juma moja;+ na katika nusu ya juma hilo atakomesha dhabihu na toleo la zawadi.+

      “Na juu ya bawa la machukizo kutakuwa na yule anayesababisha ukiwa;+ na mpaka maangamizi, kitu kile kilichoamuliwa kitamwagika pia juu ya yule anayekaa ukiwa.”+

  • Waebrania 7:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Yeye hahitaji kila siku,+ kama wale makuhani wakuu wanavyofanya, kutoa dhabihu, kwanza kwa ajili ya dhambi zake mwenyewe+ kisha kwa ajili ya zile za watu:+ (kwa maana yeye alifanya hilo mara moja+ kwa wakati wote alipojitoa+ mwenyewe;)

  • Waebrania 10:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Pia, kila kuhani husimama mahali pake+ siku baada ya siku+ ili kutoa utumishi wa watu wote na kutoa dhabihu zilezile mara nyingi, kwa kuwa hizo haziwezi kamwe kuondoa kabisa dhambi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki