31 “Nawe utafanya kinara cha taa cha dhahabu safi. Hicho kinara cha taa kitafanyizwa kwa kazi ya kufua.+ Msingi wake, matawi yake, vikombe vyake, vifundo vyake na maua yake vitatoka kwake.
7 Kisha akatengeneza vinara vya taa+ vya dhahabu, kumi vya muundo mmoja,+ akaviweka katika hekalu, vitano upande wa kuume na vitano upande wa kushoto.+