8 Katika siku moja ya sabato baada ya nyingine atauweka kwa utaratibu mbele za Yehova daima.+ Ni agano pamoja na wana wa Israeli mpaka wakati usio na kipimo.
4 Jinsi alivyoingia ndani ya nyumba ya Mungu nao wakala mikate ya toleo,+ kitu ambacho kisheria yeye, wala wale waliokuwa pamoja naye hawakuruhusiwa+ kula, ila makuhani+ tu?