Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 24:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “Nawe utachukua unga laini na kuuoka uwe keki kumi na mbili za mviringo. Kila keki itafanyizwa kwa sehemu mbili za efa.

  • Mambo ya Walawi 24:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Nao utakuwa wa Haruni na wa wanawe,+ nao wataula katika mahali patakatifu,+ kwa sababu ni kitu kitakatifu zaidi kwa ajili yake kutoka kwa matoleo ya Yehova yanayotolewa kwa njia ya moto, kama sharti mpaka wakati usio na kipimo.”

  • Marko 2:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Jinsi alivyoingia ndani ya nyumba ya Mungu, katika lile simulizi juu ya Abiathari+ mkuu wa makuhani, akala mikate ya toleo,+ ambayo si halali+ kwa mtu yeyote kula ila makuhani, naye akawapa wale watu waliokuwa pamoja naye sehemu yake pia?”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki