10 “‘Na hakuna mgeni yeyote atakayekula kitu chochote kilicho kitakatifu.+ Hakuna mkaaji aliye pamoja na kuhani wala mfanyakazi wa kukodiwa atakayekula kitu chochote kilicho kitakatifu.
6 Basi kuhani akampa kilicho kitakatifu,+ kwa sababu hakukuwa na mkate mwingine hapo isipokuwa mkate wa wonyesho uliokuwa umeondolewa mbele za Yehova+ ili kuweka mkate mpya hapo, siku ambayo uliondolewa.
4 Jinsi alivyoingia ndani ya nyumba ya Mungu nao wakala mikate ya toleo,+ kitu ambacho kisheria yeye, wala wale waliokuwa pamoja naye hawakuruhusiwa+ kula, ila makuhani+ tu?
4 Jinsi alivyoingia ndani ya nyumba ya Mungu akapokea mikate ya toleo+ naye akala na kuwapa watu waliokuwa pamoja naye baadhi yake, ambayo si halali kwa mtu yeyote kula ila makuhani tu?”+