Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 21:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Anaweza kula mkate wa Mungu wake kutoka kati ya vitu vitakatifu zaidi+ na kutoka kati ya vitu vitakatifu.+

  • Mambo ya Walawi 22:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “‘Na hakuna mgeni yeyote atakayekula kitu chochote kilicho kitakatifu.+ Hakuna mkaaji aliye pamoja na kuhani wala mfanyakazi wa kukodiwa atakayekula kitu chochote kilicho kitakatifu.

  • 1 Samweli 21:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Basi kuhani akampa kilicho kitakatifu,+ kwa sababu hakukuwa na mkate mwingine hapo isipokuwa mkate wa wonyesho uliokuwa umeondolewa mbele za Yehova+ ili kuweka mkate mpya hapo, siku ambayo uliondolewa.

  • Mathayo 12:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Jinsi alivyoingia ndani ya nyumba ya Mungu nao wakala mikate ya toleo,+ kitu ambacho kisheria yeye, wala wale waliokuwa pamoja naye hawakuruhusiwa+ kula, ila makuhani+ tu?

  • Luka 6:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Jinsi alivyoingia ndani ya nyumba ya Mungu akapokea mikate ya toleo+ naye akala na kuwapa watu waliokuwa pamoja naye baadhi yake, ambayo si halali kwa mtu yeyote kula ila makuhani tu?”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki