33 Nao watakula vitu ambavyo vimetumiwa kufanya upatanisho ili kuijaza mikono yao nguvu, ili kuwatakasa.+ Lakini mgeni asivile, kwa maana ni vitakatifu.+
4 Jinsi alivyoingia ndani ya nyumba ya Mungu nao wakala mikate ya toleo,+ kitu ambacho kisheria yeye, wala wale waliokuwa pamoja naye hawakuruhusiwa+ kula, ila makuhani+ tu?