33 Nao watakula vitu ambavyo vimetumiwa kufanya upatanisho ili kuijaza mikono yao nguvu, ili kuwatakasa.+ Lakini mgeni asivile, kwa maana ni vitakatifu.+
4 Jinsi alivyoingia ndani ya nyumba ya Mungu akapokea mikate ya toleo+ naye akala na kuwapa watu waliokuwa pamoja naye baadhi yake, ambayo si halali kwa mtu yeyote kula ila makuhani tu?”+