Kutoka 29:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Watakula vitu vilivyotolewa dhabihu ili kufunika dhambi wakati walipowekwa rasmi kuwa makuhani* na kutakaswa. Lakini mtu ambaye hana idhini* hapaswi kuvila, kwa maana ni vitakatifu.+
33 Watakula vitu vilivyotolewa dhabihu ili kufunika dhambi wakati walipowekwa rasmi kuwa makuhani* na kutakaswa. Lakini mtu ambaye hana idhini* hapaswi kuvila, kwa maana ni vitakatifu.+