Kutoka 29:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Nao watakula vitu ambavyo vimetumiwa kufanya upatanisho ili kuijaza mikono yao nguvu, ili kuwatakasa.+ Lakini mgeni asivile, kwa maana ni vitakatifu.+
33 Nao watakula vitu ambavyo vimetumiwa kufanya upatanisho ili kuijaza mikono yao nguvu, ili kuwatakasa.+ Lakini mgeni asivile, kwa maana ni vitakatifu.+