Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 21
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Mambo ya Walawi 21:1

Marejeo

  • +Hes 19:14

Mambo ya Walawi 21:5

Marejeo

  • +Kum 14:1; Isa 15:2; Eze 44:20
  • +Law 19:27; Yer 48:37
  • +Law 19:28; 1Fa 18:28; Yer 16:6

Mambo ya Walawi 21:6

Marejeo

  • +Kut 29:44; Law 10:3; Ezr 8:28
  • +Law 18:21; 19:12; 22:32
  • +Law 3:11; Mal 1:7
  • +Isa 52:11; 1Pe 1:16

Mambo ya Walawi 21:7

Marejeo

  • +Law 19:29
  • +Kum 24:1; Mt 19:8
  • +Eze 44:22

Mambo ya Walawi 21:8

Marejeo

  • +Kut 28:41; Law 20:8; 1Ko 6:11; Ebr 9:13
  • +Law 11:44
  • +Kut 28:36; Law 11:45; 20:7; Isa 43:15

Mambo ya Walawi 21:9

Marejeo

  • +Mwa 38:24; Law 20:14

Mambo ya Walawi 21:10

Marejeo

  • +Law 8:12; Hes 35:25; Zb 133:2
  • +Kut 28:2; 29:29; Law 16:32
  • +Law 10:6
  • +Mwa 37:34

Mambo ya Walawi 21:11

Marejeo

  • +Hes 6:7; 19:11, 14

Mambo ya Walawi 21:12

Marejeo

  • +Law 10:7; 21:23
  • +Law 8:12; Lu 4:18; Mdo 10:38

Mambo ya Walawi 21:13

Marejeo

  • +Eze 44:22; 2Ko 11:2; Ufu 14:4

Mambo ya Walawi 21:15

Marejeo

  • +Ezr 9:2
  • +1Th 5:23; 2Th 2:13

Mambo ya Walawi 21:17

Marejeo

  • +Law 22:21; Ro 12:1; Efe 5:27; Ebr 7:26; Ufu 14:5
  • +Law 3:11; Hes 16:5

Mambo ya Walawi 21:18

Marejeo

  • +Law 22:23

Mambo ya Walawi 21:20

Marejeo

  • +Law 22:24; Kum 23:1

Mambo ya Walawi 21:21

Marejeo

  • +Law 2:2
  • +Law 22:25

Mambo ya Walawi 21:22

Marejeo

  • +Law 2:10; 6:16; 24:9; Hes 18:9
  • +Law 22:10; Hes 18:19

Mambo ya Walawi 21:23

Marejeo

  • +Kut 30:6; Ebr 10:20
  • +Kut 38:1
  • +Law 21:17
  • +Kut 25:8; Law 21:12
  • +Kut 28:41

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

Law. 21:1Hes 19:14
Law. 21:5Kum 14:1; Isa 15:2; Eze 44:20
Law. 21:5Law 19:27; Yer 48:37
Law. 21:5Law 19:28; 1Fa 18:28; Yer 16:6
Law. 21:6Kut 29:44; Law 10:3; Ezr 8:28
Law. 21:6Law 18:21; 19:12; 22:32
Law. 21:6Law 3:11; Mal 1:7
Law. 21:6Isa 52:11; 1Pe 1:16
Law. 21:7Law 19:29
Law. 21:7Kum 24:1; Mt 19:8
Law. 21:7Eze 44:22
Law. 21:8Kut 28:41; Law 20:8; 1Ko 6:11; Ebr 9:13
Law. 21:8Law 11:44
Law. 21:8Kut 28:36; Law 11:45; 20:7; Isa 43:15
Law. 21:9Mwa 38:24; Law 20:14
Law. 21:10Law 8:12; Hes 35:25; Zb 133:2
Law. 21:10Kut 28:2; 29:29; Law 16:32
Law. 21:10Law 10:6
Law. 21:10Mwa 37:34
Law. 21:11Hes 6:7; 19:11, 14
Law. 21:12Law 10:7; 21:23
Law. 21:12Law 8:12; Lu 4:18; Mdo 10:38
Law. 21:13Eze 44:22; 2Ko 11:2; Ufu 14:4
Law. 21:15Ezr 9:2
Law. 21:151Th 5:23; 2Th 2:13
Law. 21:17Law 22:21; Ro 12:1; Efe 5:27; Ebr 7:26; Ufu 14:5
Law. 21:17Law 3:11; Hes 16:5
Law. 21:18Law 22:23
Law. 21:20Law 22:24; Kum 23:1
Law. 21:21Law 2:2
Law. 21:21Law 22:25
Law. 21:22Law 2:10; 6:16; 24:9; Hes 18:9
Law. 21:22Law 22:10; Hes 18:19
Law. 21:23Kut 30:6; Ebr 10:20
Law. 21:23Kut 38:1
Law. 21:23Law 21:17
Law. 21:23Kut 25:8; Law 21:12
Law. 21:23Kut 28:41
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
Mambo ya Walawi 21:1-24

Mambo ya Walawi

21 Na Yehova akaendelea kumwambia Musa: “Ongea na makuhani, wana wa Haruni, nawe uwaambie, ‘Kwa ajili ya nafsi iliyokufa, mtu yeyote asijitie unajisi katikati ya watu wake.+ 2 Lakini kwa ajili ya mtu mwenye uhusiano wa damu aliye karibu naye, kwa ajili ya mama yake na kwa ajili ya baba yake na kwa ajili ya mwana wake na kwa ajili ya binti yake na kwa ajili ya ndugu yake 3 na kwa ajili ya dada yake, bikira aliye karibu naye, ambaye hajawa wa mwanamume, kwa ajili yake anaweza kujitia unajisi. 4 Hatajitia unajisi kwa ajili ya mwanamke mwenye mume katikati ya watu wake ili kujitia unajisi. 5 Hawataweka upara juu ya vichwa+ vyao, na ncha ya ndevu zao hawatanyoa,+ na katika mwili wao hawatafanya mkato.+ 6 Watakuwa watakatifu kwa Mungu wao,+ nao hawatalitia unajisi jina la Mungu wao,+ kwa sababu wao ndio wanaotoa matoleo ya Yehova yanayotolewa kwa njia ya moto, mkate wa Mungu wao;+ nao watakuwa watakatifu.+ 7 Kahaba+ au mwanamke aliyenajisiwa hawatamwoa; na mwanamke aliyetalikiwa+ kutoka kwa mume wake hawatamwoa,+ kwa sababu yeye ni mtakatifu kwa Mungu wake. 8 Basi utamtakasa,+ kwa sababu yeye ni mtu anayeutoa mkate wa Mungu wako. Atakuwa mtakatifu kwako,+ kwa sababu mimi Yehova, ninayewatakasa ninyi, mimi ni mtakatifu.+

9 “‘Sasa ikiwa binti ya kuhani atajitia unajisi kwa kufanya ukahaba, anamtia unajisi baba yake. Binti huyo atateketezwa katika moto.+

10 “‘Naye kuhani mkuu wa ndugu zake ambaye kichwa chake kimemiminiwa mafuta+ na ambaye mkono wake umejazwa nguvu ili kuvaa yale mavazi,+ hatakiacha kichwa chake bila kutunzwa,+ wala hatayararua mavazi yake.+ 11 Naye hatakuja mahali penye nafsi yoyote iliyokufa.+ Kwa ajili ya baba yake na mama yake hatajitia unajisi. 12 Pia hatatoka nje ya patakatifu wala kupatia unajisi patakatifu pa Mungu wake,+ kwa sababu ishara ya wakfu, yale mafuta ya Mungu wake yanayotumiwa kutia mafuta,+ yako juu yake. Mimi ni Yehova.

13 “‘Naye atamwoa mwanamke katika ubikira wake.+ 14 Na mwanamke mjane au aliyetalikiwa na yule aliyenajisiwa, kahaba, asimwoe yeyote kati ya hawa, lakini aoe bikira kutoka kwa watu wake awe mke wake. 15 Naye hatautia unajisi uzao wake kati ya watu wake,+ kwa sababu mimi ni Yehova ninayemtakasa.’”+

16 Na Yehova akaendelea kusema na Musa, na kumwambia: 17 “Sema na Haruni, na kumwambia, ‘Mtu yeyote wa uzao wako katika vizazi vyao vyote ambaye ana kasoro+ asije karibu ili kuutoa mkate wa Mungu wake.+ 18 Ikiwa kuna mtu yeyote mwenye kasoro, asikaribie: mtu aliye kipofu au kilema au mwenye pua iliyokatika au mwenye kiungo kimoja kilicho kirefu mno,+ 19 au mtu aliyevunjika mguu au aliyevunjika mkono, 20 au mwenye kijongo au aliyekonda au mwenye ugonjwa wa macho au mwenye vigaga au mwenye mba au aliyevunjwa mapumbu yake.+ 21 Mtu yeyote wa uzao wa Haruni kuhani ambaye ana kasoro hatakaribia ili kutoa matoleo ya Yehova kwa njia ya moto.+ Kuna kasoro ndani yake. Hatakaribia ili kuutoa mkate wa Mungu wake.+ 22 Anaweza kula mkate wa Mungu wake kutoka kati ya vitu vitakatifu zaidi+ na kutoka kati ya vitu vitakatifu.+ 23 Hata hivyo, hatakaribia pazia,+ wala hatakaribia madhabahu,+ kwa sababu kuna kasoro ndani yake;+ naye hatapatia unajisi patakatifu pangu,+ kwa kuwa mimi ni Yehova ninayewatakasa wao.’”+

24 Basi Musa akasema na Haruni na wanawe na wana wote wa Israeli.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki