29 “Nayo mavazi matakatifu+ yaliyo ya Haruni yatatumiwa na wanawe+ baada yake ili kuwatia mafuta+ wakiwa wameyavaa na kuijaza mikono yao nguvu wakiwa wameyavaa.+
32 “Naye kuhani atakayetiwa mafuta+ na ambaye mkono wake utajazwa nguvu ili kutenda akiwa kuhani,+ atakayemfuata+ baba yake, atafanya upatanisho naye atavaa yale mavazi ya kitani.+ Hayo ni mavazi matakatifu.+