Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 30:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Nawe utamtia mafuta Haruni+ na wanawe,+ nawe utawatakasa watende wakiwa makuhani kwangu.+

  • Kutoka 40:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Nawe lazima utawatia mafuta kama vile ulivyomtia mafuta baba yao,+ nao lazima watanitumikia wakiwa makuhani, na kutiwa kwao mafuta lazima kutumike kwao kwa kuendelea kukiwa ukuhani mpaka wakati usio na kipimo katika vizazi vyao.”+

  • Mambo ya Walawi 8:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Mwishowe akamimina sehemu ya mafuta hayo ya kutia mafuta juu ya kichwa cha Haruni na kumtia mafuta ili kumtakasa.+

  • 2 Wakorintho 1:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Lakini yeye ambaye hutoa uhakikisho kwamba ninyi na sisi ni wa Kristo na yeye ambaye ametutia mafuta+ ni Mungu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki