Kutoka 30:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Nawe utamtia mafuta Haruni+ na wanawe,+ nawe utawatakasa watende wakiwa makuhani kwangu.+ Kutoka 40:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Nawe lazima utawatia mafuta kama vile ulivyomtia mafuta baba yao,+ nao lazima watanitumikia wakiwa makuhani, na kutiwa kwao mafuta lazima kutumike kwao kwa kuendelea kukiwa ukuhani mpaka wakati usio na kipimo katika vizazi vyao.”+ Mambo ya Walawi 8:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Mwishowe akamimina sehemu ya mafuta hayo ya kutia mafuta juu ya kichwa cha Haruni na kumtia mafuta ili kumtakasa.+ 2 Wakorintho 1:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Lakini yeye ambaye hutoa uhakikisho kwamba ninyi na sisi ni wa Kristo na yeye ambaye ametutia mafuta+ ni Mungu.
15 Nawe lazima utawatia mafuta kama vile ulivyomtia mafuta baba yao,+ nao lazima watanitumikia wakiwa makuhani, na kutiwa kwao mafuta lazima kutumike kwao kwa kuendelea kukiwa ukuhani mpaka wakati usio na kipimo katika vizazi vyao.”+
12 Mwishowe akamimina sehemu ya mafuta hayo ya kutia mafuta juu ya kichwa cha Haruni na kumtia mafuta ili kumtakasa.+
21 Lakini yeye ambaye hutoa uhakikisho kwamba ninyi na sisi ni wa Kristo na yeye ambaye ametutia mafuta+ ni Mungu.