Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 29:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Nawe utachukua mafuta yanayotumiwa kutia mafuta na kuyamimina+ juu ya kichwa chake na kumtia mafuta.+

  • Kutoka 30:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Nawe utamtia mafuta Haruni+ na wanawe,+ nawe utawatakasa watende wakiwa makuhani kwangu.+

  • Kutoka 40:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Nawe utamvisha Haruni mavazi matakatifu+ na kumtia mafuta+ na kumtakasa, naye atatenda akiwa kuhani kwangu.

  • Mambo ya Walawi 21:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “‘Naye kuhani mkuu wa ndugu zake ambaye kichwa chake kimemiminiwa mafuta+ na ambaye mkono wake umejazwa nguvu ili kuvaa yale mavazi,+ hatakiacha kichwa chake bila kutunzwa,+ wala hatayararua mavazi yake.+

  • Zaburi 133:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Ni kama mafuta mazuri juu ya kichwa,+

      Yanayoshuka juu ya ndevu,

      Ndevu za Haruni,+

      Yanayoshuka kwenye ukosi wa mavazi yake.+

  • Matendo 10:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 yaani, Yesu aliyekuwa ametoka Nazareti, jinsi Mungu alivyomtia mafuta kwa roho takatifu+ na nguvu, naye akaenda akipita katika nchi akitenda mema na kuwaponya wote waliokandamizwa na Ibilisi;+ kwa sababu Mungu alikuwa pamoja naye.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki