Kutoka 40:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Nawe lazima utawatia mafuta kama vile ulivyomtia mafuta baba yao,+ nao lazima watanitumikia wakiwa makuhani, na kutiwa kwao mafuta lazima kutumike kwao kwa kuendelea kukiwa ukuhani mpaka wakati usio na kipimo katika vizazi vyao.”+ Ufunuo 5:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 nawe ukawafanya kuwa ufalme+ na makuhani+ kwa Mungu wetu,+ nao watatawala wakiwa wafalme+ juu ya dunia.”
15 Nawe lazima utawatia mafuta kama vile ulivyomtia mafuta baba yao,+ nao lazima watanitumikia wakiwa makuhani, na kutiwa kwao mafuta lazima kutumike kwao kwa kuendelea kukiwa ukuhani mpaka wakati usio na kipimo katika vizazi vyao.”+
10 nawe ukawafanya kuwa ufalme+ na makuhani+ kwa Mungu wetu,+ nao watatawala wakiwa wafalme+ juu ya dunia.”