Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 19:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Yesu akawaambia: “Kwa kweli ninawaambia ninyi, Katika uumbaji-mpya Mwana wa binadamu atakapoketi juu ya kiti chake cha ufalme chenye utukufu, ninyi ambao mmenifuata mtaketi pia juu ya viti vya ufalme kumi na viwili, mkiyahukumu yale makabila kumi na mawili ya Israeli.+

  • Ufunuo 20:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Nami nikaona viti vya ufalme,+ na kulikuwa na wale walioketi juu yake, nao wakapewa mamlaka ya kuhukumu.+ Ndiyo, niliona nafsi za wale waliouawa kwa shoka kwa ajili ya ushahidi waliotoa kumhusu Yesu na kwa ajili ya kusema juu ya Mungu, na wale ambao hawakumwabudu yule mnyama-mwitu+ wala sanamu+ yake na ambao hawakupokea ile alama juu ya paji la uso wao na juu ya mkono wao.+ Nao wakawa hai na kutawala wakiwa wafalme+ pamoja na Kristo kwa miaka elfu.

  • Ufunuo 22:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Pia, usiku hautakuwapo tena,+ na hawana uhitaji wa nuru ya taa wala hawana nuru ya jua, kwa sababu Yehova Mungu ataangaza nuru+ yake juu yao, nao watatawala wakiwa wafalme milele na milele.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki