Luka 12:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 “Msiogope,+ kundi dogo,+ kwa sababu Baba yenu amekubali kuwapa ninyi ufalme.+ Luka 22:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 nami ninafanya agano pamoja nanyi, sawa na vile Baba yangu alivyofanya agano+ pamoja nami, kwa ajili ya ufalme,+ Waebrania 12:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kwa hiyo, kwa kuwa tutapokea ufalme ambao hauwezi kutikiswa,+ acheni tuendelee kuwa na fadhili zisizostahiliwa, ambazo kupitia hizo tunaweza kumtolea Mungu kwa njia inayokubalika utumishi mtakatifu kwa woga wa kimungu na heshima.+
29 nami ninafanya agano pamoja nanyi, sawa na vile Baba yangu alivyofanya agano+ pamoja nami, kwa ajili ya ufalme,+
28 Kwa hiyo, kwa kuwa tutapokea ufalme ambao hauwezi kutikiswa,+ acheni tuendelee kuwa na fadhili zisizostahiliwa, ambazo kupitia hizo tunaweza kumtolea Mungu kwa njia inayokubalika utumishi mtakatifu kwa woga wa kimungu na heshima.+