-
Waebrania 12:28Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
28 Kwa hiyo, kwa kuwa tutapokea Ufalme usioweza kutikiswa, acheni tuendelee kupokea fadhili zisizostahiliwa, ambazo zitatuwezesha kumtolea Mungu utumishi mtakatifu kwa njia inayokubalika, kwa kumwogopa Mungu na kumheshimu.
-
-
Waebrania 12:28Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
28 Kwa sababu hiyo, kwa kuwa tutapokea ufalme usioweza kutikiswa, acheni sisi tuendelee kuwa na fadhili isiyostahiliwa, ambayo kupitia hiyo twaweza kumtolea Mungu katika njia ya kukubalika utumishi mtakatifu kwa hofu ya kimungu na kicho.
-