-
Waebrania 12:28Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
28 Kwa hiyo, kwa kuwa tutapokea Ufalme usioweza kutikiswa, acheni tuendelee kupokea fadhili zisizostahiliwa, ambazo zitatuwezesha kumtolea Mungu utumishi mtakatifu kwa njia inayokubalika, kwa kumwogopa Mungu na kumheshimu.
-