41 Na kwa vitu hivyo wewe utamvika Haruni ndugu yako na wanawe pamoja naye, nawe utawatia mafuta+ na kuijaza mikono yao nguvu+ na kuwatakasa, nao watakuwa makuhani kwangu.
33 Nanyi msitoke nje ya mwingilio wa hema la mkutano kwa siku saba,+ mpaka siku ya kutimia kwa siku za kuwekwa kwenu rasmi, kwa sababu itachukua siku saba kuujaza mkono wenu nguvu.+
5 Si kwamba sisi wenyewe tuna sifa za kustahili vya kutosha kuhesabu kuwa jambo lolote linatoka kwetu wenyewe,+ bali kuwa kwetu na sifa za kustahili vya kutosha hutoka kwa Mungu,+