Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 29:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Nawe utachukua mafuta yanayotumiwa kutia mafuta na kuyamimina+ juu ya kichwa chake na kumtia mafuta.+

  • Kutoka 30:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Nawe utamtia mafuta Haruni+ na wanawe,+ nawe utawatakasa watende wakiwa makuhani kwangu.+

  • Mambo ya Walawi 10:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Nanyi msitoke katika mwingilio wa hema la mkutano msije mkafa,+ kwa sababu mafuta ya Yehova yanayotumiwa kutia mafuta yako juu yenu.”+ Basi wakafanya kulingana na neno la Musa.

  • Matendo 10:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 yaani, Yesu aliyekuwa ametoka Nazareti, jinsi Mungu alivyomtia mafuta kwa roho takatifu+ na nguvu, naye akaenda akipita katika nchi akitenda mema na kuwaponya wote waliokandamizwa na Ibilisi;+ kwa sababu Mungu alikuwa pamoja naye.+

  • 2 Wakorintho 1:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Lakini yeye ambaye hutoa uhakikisho kwamba ninyi na sisi ni wa Kristo na yeye ambaye ametutia mafuta+ ni Mungu.

  • 1 Yohana 2:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Na kwa habari yenu, kule kutiwa mafuta+ ambako mlipokea kutoka kwake hukaa ndani yenu, nanyi hamhitaji yeyote awe akiwafundisha;+ lakini, kama vile kutiwa mafuta kutoka kwake kunavyowafundisha ninyi juu ya mambo yote,+ na ni kweli+ wala si uwongo, na kama vile kumewafundisha ninyi, kaeni katika muungano+ na yeye.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki