Yohana 17:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Watakase+ kwa njia ya ile kweli; neno+ lako ni kweli.+ Waroma 3:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Hilo lisitendeke kamwe! Bali Mungu na aonekane kuwa wa kweli,+ ingawa kila mwanadamu aonekane kuwa mwongo,+ kama ilivyoandikwa: “Ili uonekane kuwa mwadilifu katika maneno yako na ushinde wakati unapohukumiwa.”+
4 Hilo lisitendeke kamwe! Bali Mungu na aonekane kuwa wa kweli,+ ingawa kila mwanadamu aonekane kuwa mwongo,+ kama ilivyoandikwa: “Ili uonekane kuwa mwadilifu katika maneno yako na ushinde wakati unapohukumiwa.”+