Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Matendo 15:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Naye hakufanya tofauti hata kidogo kati yetu na wao,+ bali aliisafisha mioyo yao kwa imani.+

  • Waefeso 5:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 ili alitakase,+ akilisafisha na kuliosha kwa maji kwa njia ya neno,+

  • 1 Wathesalonike 5:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Yule Mungu wa amani+ na awatakase ninyi kikamilifu.+ Na vikiwa timamu katika kila jambo, roho na nafsi na mwili wenu akina ndugu na vihifadhiwe kwa namna isiyo na lawama wakati wa kuwapo kwa Bwana wetu Yesu Kristo.+

  • 2 Wathesalonike 2:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Hata hivyo, sisi tuna wajibu wa kumshukuru Mungu sikuzote kwa ajili yenu, akina ndugu mnaopendwa na Yehova, kwa sababu Mungu aliwachagua+ ninyi tangu mwanzo kwa ajili ya wokovu kwa kuwatakasa+ ninyi kwa roho+ na kwa imani yenu katika kweli.+

  • 1 Petro 1:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Sasa kwa kuwa mmezitakasa+ nafsi zenu kwa kuwa watiifu kwa ile kweli tokeo likiwa ni upendo wa kindugu usio na unafiki,+ pendaneni sana kutoka moyoni.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki