Yohana 17:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Watakase+ kwa njia ya ile kweli; neno+ lako ni kweli.+ 1 Wakorintho 6:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na bado wengine wenu mlikuwa hivyo.+ Lakini mmeoshwa mkawa safi,+ lakini mmetakaswa,+ lakini mmetangazwa kuwa waadilifu+ katika jina la Bwana wetu Yesu Kristo+ na kwa roho ya Mungu wetu.+ 1 Wathesalonike 4:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana Mungu alituita sisi bila kuruhusu nafasi ya uchafu, bali kuhusiana na utakaso.+
11 Na bado wengine wenu mlikuwa hivyo.+ Lakini mmeoshwa mkawa safi,+ lakini mmetakaswa,+ lakini mmetangazwa kuwa waadilifu+ katika jina la Bwana wetu Yesu Kristo+ na kwa roho ya Mungu wetu.+