44 Kwa maana mimi ni Yehova Mungu wenu;+ nanyi mtajitakasa wenyewe nanyi mtakuwa watakatifu,+ kwa sababu mimi ni mtakatifu.+ Kwa hiyo msifanye nafsi zenu kuwa zisizo safi kutokana na kiumbe chochote kinachozaana kwa wingi ambacho hutembea juu ya dunia.
2 kwa kutaniko la Mungu lililo katika Korintho,+ kwenu ninyi ambao mmetakaswa+ katika muungano na Kristo Yesu, mlioitwa kuwa watakatifu,+ pamoja na wote ambao kila mahali wanaliitia jina+ la Bwana wetu, Yesu Kristo, Bwana wao na wetu:+