Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 11:44
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 44 Kwa maana mimi ni Yehova Mungu wenu;+ nanyi mtajitakasa wenyewe nanyi mtakuwa watakatifu,+ kwa sababu mimi ni mtakatifu.+ Kwa hiyo msifanye nafsi zenu kuwa zisizo safi kutokana na kiumbe chochote kinachozaana kwa wingi ambacho hutembea juu ya dunia.

  • 1 Wakorintho 1:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 kwa kutaniko la Mungu lililo katika Korintho,+ kwenu ninyi ambao mmetakaswa+ katika muungano na Kristo Yesu, mlioitwa kuwa watakatifu,+ pamoja na wote ambao kila mahali wanaliitia jina+ la Bwana wetu, Yesu Kristo, Bwana wao na wetu:+

  • Waebrania 12:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Fuatilieni amani pamoja na watu wote,+ na utakaso+ ambao bila huo hakuna mtu atakayemwona Bwana,+

  • 1 Petro 1:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 bali, kwa kupatana na Mtakatifu aliyewaita, ninyi wenyewe pia iweni watakatifu katika mwenendo wenu wote,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki