Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 34:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Geuka kutoka katika yaliyo mabaya, na kufanya yaliyo mema;+

      Utafute amani, na kuifuatia.+

  • Waroma 12:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Ikiwezekana, kwa kadiri inavyowategemea ninyi, iweni wenye kufanya amani+ na watu wote.

  • Waroma 14:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Hivyo, basi, na tufuatilie mambo yanayofanya kuwe na amani+ na mambo ambayo ni ya kujengana.+

  • 2 Timotheo 2:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Kwa hiyo, zikimbie tamaa zinazotukia ujanani,+ lakini fuatilia uadilifu,+ imani, upendo, amani,+ pamoja na wale wanaomwitia Bwana kutokana na moyo safi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki