Zaburi 34:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Geuka kutoka katika yaliyo mabaya, na kufanya yaliyo mema;+Utafute amani, na kuifuatia.+ Waroma 12:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Ikiwezekana, kwa kadiri inavyowategemea ninyi, iweni wenye kufanya amani+ na watu wote. Waroma 14:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Hivyo, basi, na tufuatilie mambo yanayofanya kuwe na amani+ na mambo ambayo ni ya kujengana.+ 2 Timotheo 2:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa hiyo, zikimbie tamaa zinazotukia ujanani,+ lakini fuatilia uadilifu,+ imani, upendo, amani,+ pamoja na wale wanaomwitia Bwana kutokana na moyo safi.+
22 Kwa hiyo, zikimbie tamaa zinazotukia ujanani,+ lakini fuatilia uadilifu,+ imani, upendo, amani,+ pamoja na wale wanaomwitia Bwana kutokana na moyo safi.+