Mathayo 5:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “Wenye furaha ni wale wanaofanya amani,+ kwa kuwa wataitwa ‘wana+ wa Mungu.’ Waroma 12:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Ikiwezekana, kwa kadiri inavyowategemea ninyi, iweni wenye kufanya amani+ na watu wote.