2 Timotheo 2:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Lakini mtumwa wa Bwana hahitaji kupigana,+ bali anahitaji kuwa mpole kwa wote,+ mwenye sifa za kustahili kufundisha,+ akiendelea kujizuia chini ya uovu,+ Waebrania 12:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Fuatilieni amani pamoja na watu wote,+ na utakaso+ ambao bila huo hakuna mtu atakayemwona Bwana,+ Yakobo 3:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Zaidi ya hayo, mbegu ya tunda+ la uadilifu+ hupandwa chini ya hali zenye amani+ kwa wale wanaofanya amani.+
24 Lakini mtumwa wa Bwana hahitaji kupigana,+ bali anahitaji kuwa mpole kwa wote,+ mwenye sifa za kustahili kufundisha,+ akiendelea kujizuia chini ya uovu,+
18 Zaidi ya hayo, mbegu ya tunda+ la uadilifu+ hupandwa chini ya hali zenye amani+ kwa wale wanaofanya amani.+