Mathayo 5:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “Wenye furaha ni wale wanaofanya amani,+ kwa kuwa wataitwa ‘wana+ wa Mungu.’ 1 Petro 3:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 bali na ageuke kutoka katika yaliyo mabaya+ na kufanya yaliyo mema; na atafute amani na kuifuatilia.+
11 bali na ageuke kutoka katika yaliyo mabaya+ na kufanya yaliyo mema; na atafute amani na kuifuatilia.+