Waroma 12:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Ikiwezekana, kwa kadiri inavyowategemea ninyi, iweni wenye kufanya amani+ na watu wote. Waebrania 12:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Fuatilieni amani pamoja na watu wote,+ na utakaso+ ambao bila huo hakuna mtu atakayemwona Bwana,+ Yakobo 3:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Zaidi ya hayo, mbegu ya tunda+ la uadilifu+ hupandwa chini ya hali zenye amani+ kwa wale wanaofanya amani.+
18 Zaidi ya hayo, mbegu ya tunda+ la uadilifu+ hupandwa chini ya hali zenye amani+ kwa wale wanaofanya amani.+