Methali 11:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Mtu mwovu anapata mshahara wa uwongo,+ lakini anayepanda uadilifu, hupata mapato ya kweli.+ Isaya 32:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Na kazi ya uadilifu wa kweli itakuwa amani;+ na utumishi wa uadilifu wa kweli utakuwa utulivu na usalama mpaka wakati usio na kipimo.+
17 Na kazi ya uadilifu wa kweli itakuwa amani;+ na utumishi wa uadilifu wa kweli utakuwa utulivu na usalama mpaka wakati usio na kipimo.+