Ayubu 27:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Hilo ndilo fungu la mtu mwovu kutoka kwa Mungu;+Na urithi wa waonevu watapokea kutoka kwa Mweza-Yote mwenyewe. Wagalatia 6:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Msipotoshwe:+ Mungu si wa kudhihakiwa.+ Kwa maana lolote lile analopanda mtu, atavuna hilo pia;+
13 Hilo ndilo fungu la mtu mwovu kutoka kwa Mungu;+Na urithi wa waonevu watapokea kutoka kwa Mweza-Yote mwenyewe.