Zaburi 72:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Milima na iwapelekee watu amani,+Na vilima pia, kwa uadilifu. Zaburi 119:165 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 165 Wale wanaoipenda sheria yako wana amani nyingi,+Na hakuna kitu cha kuwakwaza.+ Isaya 55:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “Kwa maana ninyi mtaenda kwa kushangilia,+ nanyi mtaingizwa ndani kwa amani.+ Milima na vilima vitachangamka mbele yenu kwa vigelegele vya shangwe,+ nayo miti ya porini itapiga makofi yake.+ Waroma 14:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa maana ufalme wa Mungu+ haumaanishi kula na kunywa,+ bali unamaanisha uadilifu+ na amani+ na shangwe+ pamoja na roho takatifu.
12 “Kwa maana ninyi mtaenda kwa kushangilia,+ nanyi mtaingizwa ndani kwa amani.+ Milima na vilima vitachangamka mbele yenu kwa vigelegele vya shangwe,+ nayo miti ya porini itapiga makofi yake.+
17 Kwa maana ufalme wa Mungu+ haumaanishi kula na kunywa,+ bali unamaanisha uadilifu+ na amani+ na shangwe+ pamoja na roho takatifu.