Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 72:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Milima na iwapelekee watu amani,+

      Na vilima pia, kwa uadilifu.

  • Zaburi 119:165
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 165 Wale wanaoipenda sheria yako wana amani nyingi,+

      Na hakuna kitu cha kuwakwaza.+

  • Isaya 55:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Kwa maana ninyi mtaenda kwa kushangilia,+ nanyi mtaingizwa ndani kwa amani.+ Milima na vilima vitachangamka mbele yenu kwa vigelegele vya shangwe,+ nayo miti ya porini itapiga makofi yake.+

  • Waroma 14:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kwa maana ufalme wa Mungu+ haumaanishi kula na kunywa,+ bali unamaanisha uadilifu+ na amani+ na shangwe+ pamoja na roho takatifu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki