Mathayo 6:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 “Basi, endeleeni kuutafuta kwanza ufalme na uadilifu wake,+ nanyi mtaongezewa hivi vitu vingine vyote.+ Luka 17:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Lakini alipoulizwa na Mafarisayo ufalme wa Mungu ungekuja wakati gani,+ akawajibu na kusema: “Ufalme wa Mungu hautakuja kwa wonyesho wenye kutokeza sana,
33 “Basi, endeleeni kuutafuta kwanza ufalme na uadilifu wake,+ nanyi mtaongezewa hivi vitu vingine vyote.+
20 Lakini alipoulizwa na Mafarisayo ufalme wa Mungu ungekuja wakati gani,+ akawajibu na kusema: “Ufalme wa Mungu hautakuja kwa wonyesho wenye kutokeza sana,